Je unafahamu kwamba kukosa usingizi wa kutosha kunaweza ku kusababishia magonjwa makubwa ya kiafya? Je unafahamu yamkini matatizo ya kiafya unayo yapitia mara kwa mara yanasababishwa na wewe kukosa usingizi wa kutosha? Hizi hapa athari 5 za kukosa usingizi wa kutosha. Nina uhakika zitakusaidia sana.#DrChrisMauki#Athari#Usingizi
Category
Show more
Comments - 27
Related videos for Dr. Chris Mauki: Athari 5 za Kukosa Usingizi wa Kutosha: