AIC DAR ES SALAAM CHOIR
Tunakukarbisha kutazama Video ya Hossiana/Hossana.
Hakika ni Wimbo wa kumshukuru Mungu kwa Upendo wake wa ajabu kwa kutuptia mkombozi wa ulimwengu Yesu Kristo.
#Hossiana/Hossana
#mkomboziwaUlimwengu-YesuKristo
Category
Show more
Comments - 185
@
@ivymoraa7832 years agoI just can' t stop listening to you people. U guys really touched my. 4
@
@turahzakayo48824 years agoJaman wekaka umeimba kwa ndani umegusa mioyo ya watu barikiwa zaidi muombe mungu akupe hekima ya unyenyekevu uimbe zaidi ya hapo barikiweni mnooo. 15
@
@bonfacemukaye78112 years agoThe arrangement of the song, the instruments, backup and then the lead vocalist just on another level. 2
@
@agnesngollo37184 years agoMmefanya maajabu ya mwaka mbarikiwe wasukuma wenzangu. 2
@
@shadymoses58134 years agoBila shaka mungu amesikiliza sifa zake. Wimbo huu kila kitu kipo on point jamani, analysis yake ipo hivi. 1. Introduction ya piano, is great. That 2. Arrangements ya melody ya wimbo, na mpangilio wa sauti alto, soprano, teno, na bass zote wamepatia na zinasikika kila moja kweny freq yake. 3. The solo guy is wow, amepewa mahali pa kuingilia sauti pazuri sana, pianist amempa kila kitu yaani. Jamaa anajua kupanda na wimbo, section kwa section, mpaka anaenda kuhit highest note akiwa na pumzi vizur kabisa, ana express vizur anachoimba in short he is a true worshipper. 4. Bass team, wameimba safi sana. Kuna sehemu walitakiwa kubackup kwa bass, a ukisikiliza kwa earphones utaona walivyojaza, vocal punch yao hatari asee ukiwatazama unaweza usifikirie. Super amaizing. 5. Pianist anayelead amekaa mbele upande wamekaa wawili ni fundi. Amevunja intro, anajua kuchomekea viladha fulani hatari sana, na ndo ameupa utamu huu wimbo, piano yake inagusa nafsi ya msikilizaji kabisa, anagusa jazz, blues na kuna sehem alienda pentanoic scales. Wenzake wawili nao walihakikisha wanamshikia chords vizuri, ofcoz they did it 6. Nafikiri kila msikilizaji wa huu wimbo amejionea mwenyewe wewe ni pro sahani zimelia, kick zimesikika. Usikivu wa drum ulikuwa wa juu kabisa. mwisho kweli aic magomeni mlijipanga, doing it. ...Expand3
@
@bilhakamau46633 years agoI just saw this song on tik tok. I rushed here. Real worship. Much love kenya. 1
@
@dorahgideon73622 years agoHakika ninayo sababu ya kumsifu bwanamy favourite of all time toka niujue. 2
@
@winmoi20194 years agoFrom +254 every time i listen to this song i find myself so broken, tears of worship in my cheeks, this song breaks me into pieces for christ, it got healing, i love lord i love tanzania. 6
@
@geofreymhina34723 years agoHuu wimbo hauchoshi kusikiliza mtunzi mungu ampe maono zaidi yuko vizuri.
@
@gabrielkitetu8913 years agoThis song has just ministered to me. Real worship. Be blessed. 5
@
@bundalasosovele29164 years agoThis song will forever mean so much to me and my family. 8
@
@dorrypol99113 months agoJulius mwombeki. Mungu azidi kukuinua kaka katika utumishi wakoo.
@
@mwanjokaully49044 years agoThis song nmeitafuta mda mrefu. Sikujua ni kina nan wameimba. I love the melody, vocal arrangement, sound, the energy and leader. Musician. And everything is super! Bless you people. 2
@
@marthajohn-gx3cqlast yearSichoki kuusikiliza huu wimbo unanigusa sana mwalimu hongera sana kwa utunzi.
@
@maureenwanjiku4129last yearI just love this choir may god continue uplifting you. 1
@
@paschalmasanilo26174 years agoEveryday i feel blessed with this song. 4
@
@priscaponella81972 years agoMbarikiwe sana na mungu mnayemuabudu na kumsifu katika roho na kweli. Mungu akubariki sana sololist wewe ndiye uliyefanya niutafute wimbo huu, l.
@
@lameckmboje3181last yearThis song should never be restricted to be downloaded please.
@
@margaretnjeka46954 years agoGreat team. Wow. You are going distances. Live for god and you will see. That soloist umegusa mioyo ya wengi. Machozi yamenitoka. Ahimidiwe mungu wangu. Baba nitakupenda daima. 1
@
@peetahluzwilo65604 years agoHallelujah this song is pure angelic, the power behind the song penetrates down to the core of my inner most being. For this song am saying thank you id="hidden5" jesus for aic dsm, lord i pray that they all live long for your glory. ...Expand2
@
@user-rg7ki5bz4h5 months agoWimbo mzuri sana tunaomba muweke kwenye downloads.
@
@hillarytheworshipper4 years agoThis brother is deep. i love it. 5
@
@dorcaskhamaya94973 years agoAki this song is powerful, the last worship i was in tears the heavenly sound brings me closer to god. God bless sana. 1
@
@gracematifali52072 years agoWimbo huu kwangu nikiusika unanipa amani. Sana mungu awabriki.
@
@happyallan5082 years agoAm blessed with this worship glroy to god hossana. 1
@jmwau904 years agoWow! The arrangement first of all, alafu this choir imebarikiwa zaidi. Endeleeni kutupa nyimbo zenye kutubariki. Be blessed guys. Aic dar es salaam. You people are fire. 3
@
@lydiahkj3 years agoThis song it' s ministration is on another level the leader is really blessed i pray that may this song bring your breakthrough. 1
@
@El9a4 years agoHalleluya atukuzwe bwana mwamba wangu. hii si nyimbo ya kawaida. mbarikiwe sana watumishi wa bwana yesu. i see the glory of the lord in your praises amen. 2
@
@kigongomgassa5744 years agoExperienced choir in music sound, vocal and bible word songs, i love the way convey da word of god. 3
@
@marthamokogoti74314 years agoCan' t stop listening to the song its a healing song. That voice so beautiful. Karibu kenya. 2
@
@cieranchillo74 years agoGod bless y' all yo voice thou guyz. 2
@
@josephatmagege90524 years agoBe blessed guys thanks for the nice song. Nimebarikiwa sana na huu wimbo. 2
@
@veronicasarita84222 years agoAmen wimbo unanifarij sana mungu barik kwaya hii.
@
@marthajohn-gx3cqlast yearNawapenda sana mungu amesikia uiimbaji wenu.
@
@janethsparks99664 years agoThank you my brother for bringing out the worship. God bless you as always am blessed with this song, to god be all the glory. 6
@
@Mose8610 months agoKwa kweli hapa upako ulikuwa juu yenu, mungu awabariki.
@
@aidandidace82074 years agoHuyu bro nakosa maneno, na choir nzima wako vzr pia, ila leader duh mungu ampeleke juu kwenye uimbaji wake. 1
@
@carolinemichael13164 years agoYour so talented bro keep praising our good god with your blessed voice. 1
@
@mrwhynot76264 years agoHuyu kijana ana zawadi yake kwanaomba afikishiwe taarifa na aingie inster kuwasiliana na huyo mtumishi wa mungu kutoka morogoro. 1
@
@agnessjohn78904 years agoMungu azidi kuwainuwa kwa viwango vingine. 2
@
@marrymvumu87624 years agoThis song gives me new hope be blessed aic dar es salaam.
@
@asainemutalemwa9154 years agoHakika " ninayo sababu ya kumsifu mungu, mungu mwenye nguvu. " nimebarikiwa sana na wimbo huu, mungu azidi kuwatumia katika klihubiri neno lake. 2
@
@kagiraedmonds36524 years agoIve searched for this song for months now.
@
@lisamteti86494 years agoSomeone please tell me the name of the soloist or his youtubeso blessed. This one is on replay mode i can' t get enough of it. 1
@
@samwelmashauri644 years agoYaan it' s very powerful song, huyu kak kanibariki saana anaimba kutoka ndani kabisa, arrangement iko vzr, vocalsana. 3
@
@mlelemafrancis8763 years agoAsanteni sana, kwa kweli mnanielekeza nini maana ya kuimba. Mungu aendelee kuwainua katika viwango vya juu sana.
@
@esbonmasanja81755 years agoPowerfully message watumishi wa bwana hii ndio saa inayokuja na sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu bwana katika roho na kweli. 4
@
@rabbistefanos42024 years agoJamani this is too much angelic jamanii yaani vile nimeupenda huu wimbo sijui nisemeje. 3
@
@veronicamoses52243 years agoUimidiwe mfalme uimidiwe mwokozi nakuinulia mikono yangu aict dar es salaam kwaya mungu aendeless kuwaimalisha zaidi na zaidi tunabadilikiwa kupitia nyimbo hizi.
@
@cieranchillo74 years agoAmeleta amaani namshangiliaa huyu mungu jamaan huyo kaka ako na sauti nzuri mwe. 3
@
@happymwanguo25213 years agoBarikiweni watumishi wakuacha kuusikiliza hiinakosa la kusema.
@
@daudiidarabe96603 years agoNimependa sana hii kwaya nilikuwa naomba waweke nyimbo zao kwenye faili nzuri ya kudownload.
@
@janethsaukiwa39664 years agoAmen watishi kwel ni usiku wa sifa mungu azid kuwainua ktk viwango vingine huyo kaka aliye solo mungu azid kumuinua kazi ni muifanyayo ni njema sanaaa. 1
@
@bupemogha56814 years agoNimebarikiwa sana na nyimbo zenu mungu awabariki na awainue zaidi kwenye huduma yenu na kaka julius mwombeki wimbo wako wa nafsi yangu naogopa naupenda sana unadhihirisha ukuu wa mungu.
@
@happynessmathias40854 years agoHakika mmeugusa moyo wang zaidi kwa huu wmbo kaka pia umeimba ktk roho na kweli barkiwa pia, nawapenda sana. 1
@
@oshaimuafrica83984 years agoMungu nimwema nyimbo nzuri kila lakheri watumishi. 1
@
@sumakibona4794 years agoSerious, kaka unae lead hii nyimbo, ongeza zaidi viwango, watu tunatoa machozi just kwa sauti, mungu aliyowekeza kwakoh. Choir hongera sanaa, mko just kiroho na kimwili.
@
@BarakaWaya4 years agoHii kwaya sikuwahi kujua kama bado ipo daaah. Mungu awainue zaidi. Huyu aliyelead hii nyimbo nihazina nchini kwetu.
@
@mecksedesmkalawa4373 years agoJaman mbarikiwe sana na bwana wa mbing na nchi. 1
@
@gideonjames69985 years agoMbarikiwe sana wapendwa wangu. Kazi njema sana. 2
@
@mercywilliam7334 years agoJamani wimbo kila saaawabariki mno, kaka anasauti kiukweli mungu ana watu. Duu! 1
@
@estermlawa35294 years agoWimbo mzuri huu jamani naupenda tangu niupate ninamiezi mawili sasa siwezi kulala bila kuusikilza, kila siku na sichoki big up watumishi pongezi nyingi. ...Expand
@
@tricykalukwa56974 years agoSasa saiz kwl ni aic dar es salaam great! Just like @neema gospel chang' ombe. 1
@
@monicahallan21022 years agoAm much blessed. Kweli ninayo sababu yakumsifu mungu mwenye nguvu.
@
@hoccyhilary67894 years agoMwalimu wa kwaya mungu akubariki sana, nimekuelewa mno, best teacher yani umenibariki sana.
@
@johnsanago29744 years agoMungu awatie nguvu mzidi kusonga mbele zaid.
@
@MWALUJEJE5 years agoAmen mungu awabariki sana bro julius. 1
@
@mercywilliam7334 years agoKuna wimbo wa huyu kaka niliuona upendo tv. Moyo wanguni wa kwake au kwaya, sijashika title yake anayeweza kunisaidia please. He has amazing voice. 1
Related videos for AIC DAR ES SALAAM CHOIR-HOSSIANA/HOSSANA (Official Video):
1. Introduction ya piano, is great. That 2. Arrangements ya melody ya wimbo, na mpangilio wa sauti alto, soprano, teno, na bass zote wamepatia na zinasikika kila moja kweny freq yake.
3. The solo guy is wow, amepewa mahali pa kuingilia sauti pazuri sana, pianist amempa kila kitu yaani. Jamaa anajua kupanda na wimbo, section kwa section, mpaka anaenda kuhit highest note akiwa na pumzi vizur kabisa, ana express vizur anachoimba in short he is a true worshipper.
4. Bass team, wameimba safi sana. Kuna sehemu walitakiwa kubackup kwa bass, a ukisikiliza kwa earphones utaona walivyojaza, vocal punch yao hatari asee ukiwatazama unaweza usifikirie. Super amaizing.
5. Pianist anayelead amekaa mbele upande wamekaa wawili ni fundi. Amevunja intro, anajua kuchomekea viladha fulani hatari sana, na ndo ameupa utamu huu wimbo, piano yake inagusa nafsi ya msikilizaji kabisa, anagusa jazz, blues na kuna sehem alienda pentanoic scales. Wenzake wawili nao walihakikisha wanamshikia chords vizuri, ofcoz they did it
6. Nafikiri kila msikilizaji wa huu wimbo amejionea mwenyewe wewe ni pro sahani zimelia, kick zimesikika. Usikivu wa drum ulikuwa wa juu kabisa.
mwisho kweli aic magomeni mlijipanga, doing it. ...Expand 3
i love it. 5
glroy to god
hossana. 1
the leader is really blessed i pray that may this song bring your breakthrough. 1
hii si nyimbo ya kawaida.
mbarikiwe sana watumishi wa bwana yesu.
i see the glory of the lord in your praises
amen. 2
am blessed with this song, to god be all the glory. 6
yaani vile nimeupenda huu wimbo sijui nisemeje. 3
aict dar es salaam kwaya mungu aendeless kuwaimalisha zaidi na zaidi tunabadilikiwa kupitia nyimbo hizi.
mungu awabariki sana
bro julius. 1