Ni mafundisho kwa wana ndoa ambayo yametolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha akitoa mafundisho juu ya mtazamo katika maisha. Karibu uanze kutazama mafundisho haya. Na mafundisho haya hutolewa Alhamis kila juma na mapadre mbali mbali wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika Kanisa kuu Cathedral kuanzia saa 11 jioni.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Category
Show more
Comments - 11
Related videos for Padre Dkt Kamugisha:Kinachosemwa na mlevi kimo ndani;Kaipata fursa/ Ukitaka kumjua babu yako gombea: